- 547 viewsKanda ya video ikionyesha miili ya Wapalestina waliouawa katika shambulizi la anga la Israel. Ndugu na jamaa wamekusanyika katika Hospitali ya AL-Aqsa Martyrs wakijadili kuhusu shambulizi hilo. Mpalestina, Mohammed Rayyan, ambaye ndugu yake aliuawa anaeleza huzuni na simanzi zake: "Watu walikuwa wamelala katika nyumba zao – watoto, mauaji. Je, hizi ni haki za binadamu wavamizi wanazo zizungumzia? Watoto. Je, huu ndio ubinadamu wanaounadii? Watoto wasiokuwa na hatia; ndege wa peponi. Mvulana huyu ni mtoto pekee kwa baba yake. Kwa baba na mama yake. Mama yake huyu hapa, ameuawa shahidi. Na huyu hapa, tunaamini ni shahidi mbele ya Mungu Mtukufu. Hatuna cha kusema lakini kumshukuru Mungu.” Tangu Hamas ilipofanya shambulizi Oktoba 7, mashambulizi ya Israel huko Gaza yameuwa zaidi ya Wapalestina 35,000, kulingana na maafisa wa afya wa Gaza. Hamas inayoongozwa na watu wenye silaha imeua takriban watu 1,200 na kuwateka watu 253 katika uvamizi wa Oktoba 7 waliofanya ndani ya Israel, kulingana na hesabu iliyojumlishwa na Israel. - Reuters #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #helikopta #shambulizi #unrwa #un
'Watu walikuwa wamelala katika nyumba zao -- watoto, mauaji...'
- - Elimu bila mipaka ››
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - The clip of the assault went viral over the weekend.
- 11 Aug 2025 - "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.
- 11 Aug 2025 - Several adverts have been posted online.
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.