- 1,918 viewsDuration: 2:45Waumini na viongozi wa kanisa la Akorino ambao hawakufika ikulu ya Nairobi hapo jana sasa wanalitaka dhehebu hilo lisitumike kisiasa. Katika mkutano sambamba uliofanyika katika eneo bunge la Kandara kaunti ya Murang'a, kanisa hilo la Akorino limewaonya wanasiasa dhidi ya kuleta migawanyiko kanisani,