13 Apr 2026 1:12 pm | Citizen TV 315 views Duration: 1:33 Waziri wa kawi Opiyo Wandayi ameiambia kamati ya bunge ya kawi kuwa hakuna mafuta ya kiwango duni yaliyoingizwa nchini. Kulingana naye, ndiye aliyemwarifu rais kuhusu mafuta hayo yaliyoagizwa kinyume cha sheria.