Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen afika mbele ya kamati ya bunge

  • | Citizen TV
    815 views
    Duration: 3:15
    Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ameiaambia kamati ya bunge kuhusu usalama kwamba wanasiasa na watu wenye ushawishi mkubwa ndio wanaowalipa vijana ambao wanazua fujo nchini. Hata hivyo, kulingana na murkomen, serikali imeweka mikakati kabambe ya kupambana na magenge hayo ya wahuni.