Skip to main content
Skip to main content

Zoezi la kuwasajili makurutu wa polisi lafanyika kote nchini

  • | Citizen TV
    965 views
    Duration: 2:01
    Huko Mombasa idadi ndogo imeshuhudiwa huku baadhi ya vijana wakishindwa kushiriki baada ya kufika wakiwa wamechelewa. Simon Ndiwa afisa anayesimamia zoezi hilo eneo la Mvita amewataka vijana kujitayarisha mapema kwa kuhakikisha wana stakabadhi zinazohitajika kwa usajili wa makurutu.