Skip to main content
Skip to main content

Rais William Ruto amesema serikali imetoa fedha za kufadhili elimu nchini

  • | KBC Video
    173 views
    Duration: 2:21
    Rais William Ruto amesisitiza kwamba serikali imetoa mgao wa kufadhili elimu ya muhula wa kwanza na wa pili, na kwamba hivi karibuni itatoa fedha za muhula wa tatu. Akizungumza wakati wa ibada ya Jumapili, kaunti ya Murang’a, kiongozi wa taifa alisema utawala wake unaangazia wajibu wake na kwamba hautavurugwa na wakosoaji. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive