Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa Dar es Salaam Tanzania walilia uhaba wa maji, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    15,760 views
    Duration: 28:10
    Kwa muda sasa jiji la Dar es Salaam Tanzania limekumbwa na uhaba wa maji. Mifereji katika maeneo mengi imekauka kwa kile kinachotajwa kama uhaba wa mvua na kupungua kwa maji katika vyanzo vya maji kama mito na mabwawa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw