Rais Trump akutana na Fogel baada ya kuachiliwa huru kutoka Russia
Rais wa Marekani Donald Trump amemkaribisha Mwalimu raia wa Marekani Marc Fogel katika white house jana jumanne usiku baada ya Fogel kuachiliwa huru kutoka Russia ambako amekuwa akizuiliwa tangu Agosti 2021 kwa tuhuma za kuingia Russia na bangi. Fogel amesema kwamba anahisi ana bahati sana duniani.
Ameshukuru rais Trump na wanadiplomasia wa Marekani Pamoja na mawakili kwa kusaidia kuweza kuwa uhuru.
Trump amesema ameshukuru kwamba Russia ilimuachilia huru Fogel. Hata hivyo hajatoa taarifa zaidi kuhusu makubaliano yaliyopelekea Fogel kuachiliwa huru.
Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi wa habari kwamba Marekani ilikuwa imekubali kumuachilia huru raia wa Russia anayezuiliwa katika gereza la Marekani kama sehemu ya makubaliano hayo na kwamba aliyeachiliwa huru atatajwa atakapowasili Russia. - VOA NEWS
#rais #marekani #marcfogel #whitehouse #russia #bangi #voa #voaswahili
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- Who benefits from CBK's low lending rates?
17 Jun 2025
- Firm opposes DPP plan to withdraw Sh918m case against businessman
17 Jun 2025
- What Kenya can do to reduce the high number of bad loans
17 Jun 2025
- Gachagua credits survival to State insider network
17 Jun 2025
- KQ searches for new partner to set up regional airline after S Africa bolts out
17 Jun 2025
- Meeting state force with care: How medics, lawyers and counsellors sprang to action
17 Jun 2025
- Mukhwana: I was following my boss' orders
17 Jun 2025
- How 'Standard' covered the Ojwang' murder
17 Jun 2025
- County governments are poised to lose billions of shillings in revenue equitable sharing for the 2025-2026 financial year after lawmakers failed to agree on how much should be allocated to them. On the second day of negotiations between the Senate and…
17 Jun 2025
- Juja Road in Nairobi could soon be renamed Leonard Mambo Mbotela Road, should a motion currently before the county assembly be adopted and implemented by Governor Johnson Sakaja’s administration at City Hall. The motion by Kiamaiko MCA Joseph Ndung’u…