Rais Trump akutana na Fogel baada ya kuachiliwa huru kutoka Russia
Rais wa Marekani Donald Trump amemkaribisha Mwalimu raia wa Marekani Marc Fogel katika white house jana jumanne usiku baada ya Fogel kuachiliwa huru kutoka Russia ambako amekuwa akizuiliwa tangu Agosti 2021 kwa tuhuma za kuingia Russia na bangi. Fogel amesema kwamba anahisi ana bahati sana duniani.
Ameshukuru rais Trump na wanadiplomasia wa Marekani Pamoja na mawakili kwa kusaidia kuweza kuwa uhuru.
Trump amesema ameshukuru kwamba Russia ilimuachilia huru Fogel. Hata hivyo hajatoa taarifa zaidi kuhusu makubaliano yaliyopelekea Fogel kuachiliwa huru.
Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi wa habari kwamba Marekani ilikuwa imekubali kumuachilia huru raia wa Russia anayezuiliwa katika gereza la Marekani kama sehemu ya makubaliano hayo na kwamba aliyeachiliwa huru atatajwa atakapowasili Russia. - VOA NEWS
#rais #marekani #marcfogel #whitehouse #russia #bangi #voa #voaswahili
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women