Rais Trump akutana na Fogel baada ya kuachiliwa huru kutoka Russia
Rais wa Marekani Donald Trump amemkaribisha Mwalimu raia wa Marekani Marc Fogel katika white house jana jumanne usiku baada ya Fogel kuachiliwa huru kutoka Russia ambako amekuwa akizuiliwa tangu Agosti 2021 kwa tuhuma za kuingia Russia na bangi. Fogel amesema kwamba anahisi ana bahati sana duniani.
Ameshukuru rais Trump na wanadiplomasia wa Marekani Pamoja na mawakili kwa kusaidia kuweza kuwa uhuru.
Trump amesema ameshukuru kwamba Russia ilimuachilia huru Fogel. Hata hivyo hajatoa taarifa zaidi kuhusu makubaliano yaliyopelekea Fogel kuachiliwa huru.
Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi wa habari kwamba Marekani ilikuwa imekubali kumuachilia huru raia wa Russia anayezuiliwa katika gereza la Marekani kama sehemu ya makubaliano hayo na kwamba aliyeachiliwa huru atatajwa atakapowasili Russia. - VOA NEWS
#rais #marekani #marcfogel #whitehouse #russia #bangi #voa #voaswahili
30 Apr 2025
- The lawmaker was gunned down within Nairobi city.
30 Apr 2025
- Kenya has been facing increased cases of suicide.
30 Apr 2025
- He joins the long list of Raila's allies that have benefitted in the broad-based govt.
1 May 2025
- Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
1 May 2025
- Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
1 May 2025
- US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
1 May 2025
- The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
1 May 2025
- VC with nine lives as Prof Paul Wainaina returns to KU
1 May 2025
- Workers suffer as Atwoli 'too young' to retire at 75
1 May 2025
- Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs
1 May 2025
- Atwoli: A political wheeler-dealer disguised as the workers' defender
1 May 2025
- Cost of living: How salaries have changed since last Labour Day
1 May 2025
- Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans