Watu 11 wafariki Bukavu kwa mkutano wa M23
Watu kumi na mmoja wamethibitishwa kufariki baada ya milipuko miwili kutokea katika mji wa Bukavu, mashariki mwa DRC leo siku ya Alhamisi, punde tu baada ya mkutano wa M23 uliohudhuriwa na mmoja wa viongozi wa kundi hilo la waasi Corneille Nangaa katika uwanja wa Independent Square. Mlipuko wa kwanza ulisababisha hali ya sintofahamu na kuwalazimisha watu kutawanyika kabla ya mlipuko wa pili. Wakazi waliwasaidia waliojeruhiwa. Bukavu ni moja wapo ya miji mikuu katika eneo hilo iliyotekwa katika majuma ya hivi karibuni na wapiganani wa M23 ambao umoja wa mataifa umesema wanaungwa mkono na Rwanda. Nangaa alikuwa ameondoka katika uwanja huo ambako mkutano huo ulifanyika. M23 walidhibiti mji wa Bukavu baada ya kuteka Goma ambao ni mji mkuu wa Kivu Kaskazini.
1 May 2025
- Former Deputy Gachagua has highlighted the plight of Kenyan workers, slamming heightened taxes.
1 May 2025
- The presence of hawkers and boda boda riders in the Nairobi CBD has been a thorny issue for a while.
1 May 2025
- The changes were proposed during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi.
1 May 2025
- If the next pope is from sub-Saharan Africa, he would be the first in Catholic Church history. Catholic Africans think it is a long shot, though some are cautiously optimistic that Pope Francis’ successor could be a Black cardinal from their continent.
1 May 2025
- A confident President William Ruto reiterated that he will not cower from taking the unpopular leadership route to secure development for Kenyans.
1 May 2025
- President William Ruto has fulfilled his promise to sponsor 10 vulnerable girls from each of the 17 constituencies in Nairobi County.
1 May 2025
- Finance Bill 2025 will support entreprise and productivity in Kenya, President William Ruto has assured.
1 May 2025
- Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli has called on the government to remodel the tax deductions architecture to favour Kenyan workers.
1 May 2025
- A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
1 May 2025
- Former Deputy Gachagua has highlighted the plight of Kenyan workers, slamming heightened taxes.
1 May 2025
- President William Ruto has announced the removal of all taxes on pension and gratuity payments during the Labour Day celebrations held in the capital, Nairobi.
1 May 2025
- The Employment and Labour Relations Court in Nakuru has revoked the appointment of Maasai Mara University’s Deputy Vice Chancellor for Administration, Finance and Strategy, Prof James Simirei ole...
1 May 2025
- Ruto orders that all pension and gratuity payments be tax exempt.