19 Jan 2026 1:08 pm | Citizen TV 7,595 views Duration: 2:01 Shughuli za biashara na uchukuzi zimetatizika mjini Karatina kaunti ya Nyeri, baada ya wafanyabiashara kuifunga Barabara kuu ya Nyeri kuelekea Nairobi, wakilalamikia mauaji ya mfanyabiashara mmoja mjini humo.