- 1,225 viewsDuration: 2:27Rais William Ruto amewataka vijana kujiepusha na viongozi ambao anasema hawana maono ya kubadilisha taifa la Kenya. Akizungumza alipoandaa mkutano na vijana katika ikulu ya Nairobi, rais Ruto alisema safari ya Singapore itafaulu kwa vyovyote vile