- 154 viewsDuration: 1:08Peter Njenga, mkazi wa Kasarani jijini Nairobi, amejishindia shilingi nusu milioni katika shindano la Sort January Kishabiki. Njenga anasema kucheza pole pole na kwa umakini kila siku ndio kulimpa ushindi huu. Amesema atatumia fedha hizo kuwekeza katika biashara ili kukimu familia yake