- 4 views
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya wachezaji 7 kila upande ya kinadada Dennis Mwanja, ametaja kikosi cha wachezaji 12 watakaowakilisha kenya katika mashindano ya kufuzu olimpiki ya mwaka wa 2024 nchini Tunisia. Kikosi hicho kitaongozwa na grace adhiambo kama naohodha huku judith auma akiteuliwa kama naibu wake.timu hiyo inatarajiwa kusafiri hadi nchini dubai kushiriki katika mashindano ya wxv3 yatakayoandaliwa kuanzia tarehe 13 hadi tarehe 28 mwezi huu. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kikosi hicho, mwanja alielezea imani yake kwa timu hiyo, akisema kuwa itasajili matokeo mazuri na kufuzu mashidano hayo ya olimpiki. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Kikosi cha timu ya raga ya kitaifa ya wanawake Kenya Lioness cha tajwa
- - Kizaazaa Mahakamani ››
- - Tamati ››
- 12 May 2025 - The High Court has ordered that Phillip Aroko, a suspect in the murder of Kasipul MP Charles Were remains in police custody as directed by the lower court until the full seven-day period is completed.
- 12 May 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has taken an instantaneous turn on his harsh lecture against Public Service Cabinet Secretary (CS) Geoffrey Ruku saying that it was misreported.
- 12 May 2025 - President William Ruto has assured delegates at the Kenya European Union Business Forum of Kenya’s commitment to building strong trade ties with its partners.
- 12 May 2025 - Energy Cabinet Secretary Opiyo Wandayi has strongly criticized opposition leaders for their continued attacks on the broad-based government.
- 12 May 2025 - Former Deputy President Gachagua has alleged that President William Ruto vetoed the selection of Charles Nyachae as the next Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) chairman.
- 12 May 2025 - The Interconnected Justice Society and human rights activists have raised concerns over the rising cases of anti-human rights movement worldwide that seeks to roll back the marginalised, minorities and women's reproductive rights.
- 12 May 2025 - The National Olympic Committee of Kenya (NOCK) has singled out Kenya’s mixed 4x400M relay team for praise following their qualification for the World Athletics Championships in Tokyo, Japan. In a statement on Monday, May 12, 2025, NOCK congratulated the…
- 12 May 2025 - Kenya has officially won the bid to host the 2025 World Taekwondo Under-21 Championships, a momentous achievement that places Nairobi at the heart of the global martial arts calendar. The announcement was made on May 9, 2025, during the World Taekwondo…
- 12 May 2025 - The six are expected to serve for a term of three years.
- 12 May 2025 - Captain Michael George Oluoch Nyamodi was killed on May 3.