- 35 views
Bei ya lita moja ya mafuta ya petroli huenda ikapanda hadi shilingi mia tatu iwapo mapigano kati ya Israel na Hamas yataendelea. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa kawi, Davis Chirchir, aliyefika mbele ya kamati ya mazungumzo ya kitaifa inayochunguza visababishi vya gharama ya juu ya maisha. Chirchir aliiambia kamati hiyo kwamba bei ya bidhaa za Petroli huenda ikapanda hadi kufikia Dola za Marekani 150 kwa pipa iwapo mzozo uliopo katika Ukanda wa Gaza utaendelea. Alisema kwamba afueni inaweza tu kupatikana kupitia ushirikiano baina ya serikali ya Kenya na serikali za mataifa yanayozalisha mafuta. Abdiaziz Hashim na mengi zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Huenda bei ya mafuta kuongezeka hadi shilingi 300 kwa lita
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 17 May 2024 - Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - Driving a repaired written-off vehicle poses risks to the drivers.
- 17 May 2024 - Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
- 17 May 2024 - National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.
- 17 May 2024 - Okello becomes the first African jurist to hold the position in the body’s 40-year history.
- 17 May 2024 - An audit revealed that Kenya spent around Ksh58.63 million yearly to rent the chancery in London from 2021 to August 2023
- 17 May 2024 - Project is aimed at reducing rural poverty and food insecurity among smallholder farmers in arid and semi-arid lands.
- 17 May 2024 - Karua group is expected to make a major statement at Limuru III meeting
- 17 May 2024 - It is feared that more than 4.5 million learners who depend on school meals are at risk of dropping out