- 82 views
Madaktari waliogoma katika kaunti ya Kiambu hawatapokea mishahara yao hadi warejee kazini, Ni tangazo lilitolewa na gavana wa Kiambu Kimani Wamatangi, huku akiongeza kuwa watakaokataa kurejea kazini watachukuliwa hatua za kinidhamu, naye waziri wa leba Florence Bore amewarai madaktari waliogoma wasikaidi maagizo ya korti na badala yake warejee kazini na kufanya mazungumzo. Huku mgomo ukitimiza mwezi mmoja sasa, seneta maalum wa UDA Miraj Abdilah amemtetea waziri wa afya Susan Nakhumicha akidai mkataba wa CBA wa mwaka wa 2017 ulitumika kisiasa na serikali iliyopita bila mpango wa kuutekeleza.
Madaktari waliogoma katika kaunti ya Kiambu hawatapokea mishahara yao hadi warejee kazini
- - CATCH K24TV LIVE ››
- 5 Aug 2025 - The Democracy for Citizens Party (DCP) led by former Deputy President Rigathi Gachagua, has officially unveiled its candidates for several upcoming by-elections.
- 5 Aug 2025 - Siaya County Deputy Governor William Oduol now proposes a dialogue to unlock the growing impasse between him and Governor James Orengo.
- 5 Aug 2025 - KMPDU has demanded the immediate shutdown of 13 hospitals in Kiambu County, citing a worsening healthcare crisis as the doctors’ strike in the devolved unit enters its 71st day.
- 5 Aug 2025 - The products have grown in popularity among women.
- 5 Aug 2025 - Auditor-General Nancy Gathungu has flagged accountability and transparency gaps within the government’s eCitizen digital payment platform, pointing to potential misuse of billions of shillings and raising alarm over service delivery failures in key…
- 5 Aug 2025 - Report paints a grim picture of corruption in public institutions.
- 5 Aug 2025 - Congo, Sudan set for historic first CHAN clash in Group D opener
- 5 Aug 2025 - Fragile peace in Transmara West as guns go silent, trauma fades away
- 5 Aug 2025 - Malala wants Malava!
- 5 Aug 2025 - Rwanda says will 'accept up to 250 migrants' from US