Mazishi ya mwanajeshi wa Israeli aliyeuwawa katika mapigano Gaza
Familia, marafiki na wanajeshi walihudhuria mazishi huko katika makaburi ya kijeshi ya Mount Herzl, Jerusalem Jumanne (Juni 11) kwa ajili ya mwanajeshi wa Israeli mwenye umri wa miaka 19 aliyeuawa katika mapigano huko kusini mwa Gaza.
Sagenti Almog Shalom ni mmoja wa wapiganaji wanne waliouwawa Jumatatu (Juni 10), jeshi la Israeli lilisema.
Zaidi ya wanajeshi wa Israeli 600 wameuwawa tangu kuanza kwa vita hivyo huko Gaza Oktoba 7.
Tangazo la Jeshi la Israeli lilikuja saa kadhaa baada ya bunge la Israeli kuendelea na sheria yenye utata ya kuwasajili jeshini wanafunzi wa misimamo mikali ya dini ya dhehebu la ultra-orthodox.
Mswaada wa usajili huo utashuhudia kidogo kidogo kuingia katika jeshi baadhi ya Wayahudi wa dhehebu la ultra-Orthodox, ambao walikuwa wanautamaduni wa kukataa kutumikia majeshi ya ulinzi.
Licha ya kuwa hapo awali ilipendekezwa na Jenerali mstaafu Benny Gantz, ambaye alijiuzulu katika serikali kutokana na mvutano juu ya mvutano wa malengo ya kimkakati ya vita vya Gaza, hivi sasa anapinga hatua hiyo, ambayo anasema haitoshelezi kwa mahitaji ya wafanyakazi wapya yanayo likabili jeshi.
- Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- If passed into law, the Bill would also greatly affect the Kenyan shilling.
15 May 2025
- The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
15 May 2025
- Gospel artist Alex Nyachonga Apoko, popularly known as Ringtone, was on Thursday arraigned at the Milimani Law Courts alongside co-accused Alfred Juma Ayora over allegations of defrauding a businesswoman of a parcel of land worth Ksh.50 million.
15 May 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on those opposing the leasing of four State-owned sugar factories to private millers to embrace the move to allow farmers to receive their benefits.
15 May 2025
- The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) found that Kenya Police officers’ population fell from 92, 350 in 2023 to 88, 483 officers in 2024.
15 May 2025
- Principal Prosecution Counsel Bernard Owour informed the court that the two allegedly murdered Gaala Adan, a refugee girl aged 17, on March 22, 2025 at Lolkuta South Sub-location, Wara Location, Hadado Sub-County, within Wajir County.
15 May 2025
- Residents of Gathigiriri village in Kirinyaga County have protested over the death of a middle aged man, accusing Nyumba Kumi elders in the village of beating him to death.
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- PS Omollo expressed satisfaction with the progress made so far
15 May 2025
- Globally, breast cancer is the most common cancer in women.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.