Waziri Mkuu wa Italia afunga mkutano wa G7
Marekani imesema Alhamisi kuwa wao na wanachama wengine wa G7 wataipatia Kyiv mkopo wa hadi dola bilioni 50 ambao zitalipwa kwa washirika wa Magharibi kwa kutumia mapato ya riba kutoka kwenye mali za Russia zilizozuiliwa katika taasisi za kifedha za Magharibi.
Tangazo hilo lilikuja wakati Rais Joe Biden akikutana na viongozi wa Kundi la nchi saba tajiri za demokrasia Alhamisi katika hoteli ya kifahari ya Borgo Egnazia huko Puglia, Italia, katika siku ya kwanza ya mkutano huo.
Biden amekuwa akiwashinikiza viongozi wa G7 kukubaliana na mpango wake kwa washirika wa Magharibi kutoa fedha mapema kwa Ukraine na kulipwa kwa kutumia mapato ya riba kutoka dola bilioni 280 za mali zisizohamishika za Russia. - VOA
#mkutano #G7 #marekani #rais #joebiden #nchitajiri #voa #voaswahili
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women