Jeshi la Israel lashambulia Rafah mpakani na Misri
Helikopta za Israel zimefanya shambulizi huko Rafah leo Alhamisi, wakazi wamesema, huku wanamgambo wa Hamas wakiripoti mapambano ya mtaani katika mji wa kusini baada ya mwanadiplomasia wa juu wa Marekani Antony Blinken amesema sitisho bado linawezekana.
Majeshi ya ardhini ya Israel yamekuwa yakifanya harakati zake huko Rafah, karibu na mpaka wa Misri, tangu mapema mwezi Mei ili kuwasaka Hamas.
Wakati huo huo jeshi la Israel limefanya uvamizi huko Jenin, Ukingo wa magharibi nyakati za asubuhi leo Alhamisi huki wakiwa na silaha nzitona magari ya kivita.
Uharibifu kwenye mitaa na mabanda sokoni umesababisha na magari makubwa ya jeshi la Israel yaliyokuwa yakipita mitaani, wenyeji wamesema.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- If passed into law, the Bill would also greatly affect the Kenyan shilling.
15 May 2025
- The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
15 May 2025
- Gospel artist Alex Nyachonga Apoko, popularly known as Ringtone, was on Thursday arraigned at the Milimani Law Courts alongside co-accused Alfred Juma Ayora over allegations of defrauding a businesswoman of a parcel of land worth Ksh.50 million.
15 May 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on those opposing the leasing of four State-owned sugar factories to private millers to embrace the move to allow farmers to receive their benefits.
15 May 2025
- The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) found that Kenya Police officers’ population fell from 92, 350 in 2023 to 88, 483 officers in 2024.
15 May 2025
- Principal Prosecution Counsel Bernard Owour informed the court that the two allegedly murdered Gaala Adan, a refugee girl aged 17, on March 22, 2025 at Lolkuta South Sub-location, Wara Location, Hadado Sub-County, within Wajir County.
15 May 2025
- Residents of Gathigiriri village in Kirinyaga County have protested over the death of a middle aged man, accusing Nyumba Kumi elders in the village of beating him to death.
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- The Raila Odinga Stadium in Homa Bay County is ready to host this year’s Madaraka Day celebrations on June 1st.
15 May 2025
- Madaraka Day preparations in top gear - PS Omollo says