Ibada ya Hija yaanza leo Ijumaa Makka, Saudi Arabia
Hija ya mwaka huu ambayo inachukuliwa kuwa ni ya kihistoria ni kwa sababu kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya muongo mmoja Mahujaji kutoka Yemen, Syria na Iran wameruhusiwa kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu. Hii ni kufuatia mazungumzo kati ya serikali ya Saudi Arabia na nchi zao. Saudi Arabia imetoa tamko kwamba hawataruhusu siasa kuingilia kati ibada ya Hija.
Waumini wa Kiislam wanaendelea kukusanyika kuzunguka eneo la al-Kaaba katika Msikiti Mkuu wa Makka Saudi Arabia.
Hija ni nguzo ya tano ya Kiislam na inaanza tarehe 12, ya mwezi wa Kiislam, Dhul Hajj.
Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislam ni wajibu wa kila Muislam aliyekuwa na uwezo wa kiafya na kifedha kufanya ibada hii walau mara moja katika uhai wake. - Reuters
#hija #haji #mahujaji #waislam #uislam #makka #riadh #saudiarabia #voa #voaswahili
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women