Ibada ya Hija yaanza leo Ijumaa Makka, Saudi Arabia
Hija ya mwaka huu ambayo inachukuliwa kuwa ni ya kihistoria ni kwa sababu kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya muongo mmoja Mahujaji kutoka Yemen, Syria na Iran wameruhusiwa kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu. Hii ni kufuatia mazungumzo kati ya serikali ya Saudi Arabia na nchi zao. Saudi Arabia imetoa tamko kwamba hawataruhusu siasa kuingilia kati ibada ya Hija.
Waumini wa Kiislam wanaendelea kukusanyika kuzunguka eneo la al-Kaaba katika Msikiti Mkuu wa Makka Saudi Arabia.
Hija ni nguzo ya tano ya Kiislam na inaanza tarehe 12, ya mwezi wa Kiislam, Dhul Hajj.
Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislam ni wajibu wa kila Muislam aliyekuwa na uwezo wa kiafya na kifedha kufanya ibada hii walau mara moja katika uhai wake. - Reuters
#hija #haji #mahujaji #waislam #uislam #makka #riadh #saudiarabia #voa #voaswahili
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- If passed into law, the Bill would also greatly affect the Kenyan shilling.
15 May 2025
- The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
15 May 2025
- Gospel artist Alex Nyachonga Apoko, popularly known as Ringtone, was on Thursday arraigned at the Milimani Law Courts alongside co-accused Alfred Juma Ayora over allegations of defrauding a businesswoman of a parcel of land worth Ksh.50 million.
15 May 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on those opposing the leasing of four State-owned sugar factories to private millers to embrace the move to allow farmers to receive their benefits.
15 May 2025
- The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) found that Kenya Police officers’ population fell from 92, 350 in 2023 to 88, 483 officers in 2024.
15 May 2025
- Principal Prosecution Counsel Bernard Owour informed the court that the two allegedly murdered Gaala Adan, a refugee girl aged 17, on March 22, 2025 at Lolkuta South Sub-location, Wara Location, Hadado Sub-County, within Wajir County.
15 May 2025
- Residents of Gathigiriri village in Kirinyaga County have protested over the death of a middle aged man, accusing Nyumba Kumi elders in the village of beating him to death.
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- The Raila Odinga Stadium in Homa Bay County is ready to host this year’s Madaraka Day celebrations on June 1st.
15 May 2025
- Madaraka Day preparations in top gear - PS Omollo says