Maaandalizi ya mazishi katika Hospitali ya AL-Aqsa Martyrs
Mashambulizi ya angani yaliyofanywa na Israeli Jumanne yameuwa Wapalestina wasiopungua 17 katika kambi mbili zilizo kuwa za kwanza kuanzishwa katika Ukanda wa Gaza na vifaru vya Israeli viliingia ndani zaidi ya eneo finyu la mji wa Rafah ulioko kusini, wakazi na wafanyakazi afya walisema.
Maandalizi ya Mazishi yakiendelea katika Hospitali ya AL-Aqsa Martyrs huko Deir AL-Balah, Gaza, ambapo familia kadhaa zilipoteza wapendwa wao katika mashambulizi ya angani yaliofanywa na Israeli.
Wakazi wameripoti mashambulizi ya mabomu yenye nguvu yanayofanywa na vifaru na ndege kadhaa katika maeneo kadhaa ya Rafah, ambapo zaidi ya watu milioni moja walikuwa wamekimbilia kutafuta hifadhi kabla ya mwezi Mei. Wengi kati ya watu hao wamekimbilia kaskazini tangu wakati huo wakati majeshi ya Israeli yalipokuwa yakivamia mji huo.
Tangu Hamas ilipofanya shambulizi Oktoba 7, mashambulizi ya Israel huko Gaza yameuwa zaidi ya Wapalestina 37,400, kulingana na maafisa wa afya wa Gaza.
Hamas inayoongozwa na watu wenye silaha imeua takriban watu 1,200 na kuwateka watu zaidi ya 250 katika uvamizi wa Oktoba 7 waliofanya ndani ya Israel, kulingana na hesabu iliyojumlishwa na Israel.
-Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel #Deiralbalah
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women