Skip to main content
Skip to main content

Msichana wa umri mdogo Nairobi atambuliwa kwa kuhifadhi mazingira

  • | KBC Video
    243 views
    Duration: 2:49
    Msichana mwenye umri mdogo katika kaunti ya Nairobi amewatia moyo vijana na wazee kupitia mpango wake wa uhifadhi wa mazingira katika sehemu mbalimbali nchini. Alice Wanjiru aliye na umri wa miaka 11 amesema msukumo wake unatokana na maono yake ya kutaka kuifanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi kwa kizazi kijacho. Kwa sasa, azma yake ni ukarabati wa kiwanda cha usafishaji majitaka cha Ruai, ambacho hatimaye kitatatua hatari ya kiafya inayowakabili wakazi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive