- 47 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Mwanamuziki Damian Soul aeleza juu ya nyimbo yake mpya na tamasha la muziki New York | VOA Swahili
- - Sauti ya paka ››
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - A new Bill sponsored by Nairobi Woman Representative Esther Passaris seeks to prohibit public gatherings near Parliament and all protected areas.
- 1 Jul 2025 - The new bill could change how protests are conducted.
- 1 Jul 2025 - Speaking from Seville at a high-level forum on global cooperation, President Macron emphasized his common vision with President William Ruto: no country should be forced to choose between economic progress and environmental protection.
- 1 Jul 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) and the Independent Policing Oversight Authority (IPOA) have renewed their commitment to strengthening collaboration in a bid to enhance police accountability and protect human rights. In a meeting…
- 1 Jul 2025 - Former Vice President Kalonzo Musyoka’s party has officially changed its name to Wiper Patriotic Front from the founding name, Wiper Democratic Movement per a Kenya Gazette notice published by the Registrar of Political Parties.
- 1 Jul 2025 - The issue of visa refunds has been a constant bone of contention, especially with the UK and the US.
- 1 Jul 2025 - Nyaanga has been a long-time occupant and intended beneficiary of the land through the National Housing Corporation.