- 51 views
Tume ya maadili na kupambana na Ufisadi-EACC imefanya msako katika makazi ya maafisa wawili wakuu wa halmashauri ya usimamizi wa barabara za mashinani-KeRRA ambao ni miongoni wa maafisa wa halmashauri hiyo wanaotafutwa kutokana na sakata za ujenzi wa barabara za KeRRA zinazohusisha mamilioni ya pesa. Mhasibu wa eneo wa KeRRA katika kaunti ya Lamu Joel Mutambu Kilonzi na mkurugenzi wa eneo wa KeRRA Kaunti ya Kirinyaga mhandisi Joseph Murage Kimata wanadaiwa kufaidika na shilingi milioni 15 kutoka kampuni ambazo walizipa kandarasi za ujenzi na ukarabati wa barabara kupitia ofisi zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
EACC yawachunguza maafisa wawili wa KERRA wanaodaiwa kufaidika na kandarasi za ujenzi wa barabara
- 3 May 2025 - Shock has engulfed Red Soil village in Mwea East, Kirinyaga County, after a 19-year-old girl died by suicide an hour after calling her father and elder sister and urging them to return home.
- 2 May 2025 - A post-mortem examination on the body of slain Kasipul MP Charles Ong’ondo Were is scheduled for Monday, May 5, 2025, as detectives intensify investigations into his fatal shooting.
- 2 May 2025 - President William Ruto has suffered a blow after the High Court barred four of his nominees from taking office as members of the National Climate Change Council.
- 2 May 2025 - National carrier Kenya Airways (KQ) has named its latest Boeing 737 airliner after a high-ranking Kenyan employee, in what they say is an aeronautical tribute to her “resilience and unwavering” leadership.
- 2 May 2025 - Mandera North MP Bashir Abdullahi has clarified his controversial remarks about the BBC documentary ‘Blood Parliament’ that exposed the faces of police officers who allegedly killed youthful Kenyans during the June 2024 anti-Finance Bill protests.
- 2 May 2025 - This is not the first time a Kenyan journalist is arrested over a controversial news piece.
- 2 May 2025 - According to eyewitnesses, the MP was in a white Toyota Crown saloo car that had stopped at a traffic light near the City Mortuary roundabout at around 7:30 p.m. when two men on a motorcycle approached.
- 2 May 2025 - The MP was gunned down by unknown assailants on Wednesday, April 30 at City Mortuary roundabout.
- 2 May 2025 - He was shot and killed on April 30, 2025.
- 2 May 2025 - He made stopovers in Keroka and Nyasiongo towns, among others, in Nyamira County.