- 6,040 viewsDuration: 1:56Afisa wa polisi aliyehusishwa na ufyatuaji wa risasi na kuwajeruhi watu wawili,katika eneo la burudani huko kitengela amesalimisha bunduki yake. Afisa huyo, ambaye ameagizwa kuandikisha taarifa katika kituo cha polisi cha Kitengela, yuko chini ya uchunguzi huku waliojeruhiwa wakiendelea kutibiwa hospitalini Kajiado.