Wakati dunia inasema "hapa si pa kuishi", jamaa huyu mwenye ndoto zake akasema, "Ngoja niwaoneshe!"
Karibu kwenye hadithi ya ajabu ya Chen Tianming, jamaa aliyekataa kuhama, akachukua kibanda cha mawe cha babu yake na kukigeuza kuwa jumba la ghorofa 10 katikati ya kijiji kilichofutwa kwenye ramani!
Mwandishi wa BBC @frankmavura anatusimulia kuhusiana na dunia ya mtu aliyekataa kuishi kwenye mipaka ya kawaida akaamua kuchora ramani yake mwenyewe!
#bbcswahili #makazi #historia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
29 Jun 2025
- An Israeli court on Sunday postponed Prime Minister Benjamin Netanyahu's testimony in his corruption trial after he requested a delay, as US President Donald Trump called for the case to be thrown out.
29 Jun 2025
- COTU Secretary-General Francis Atwoli has condemned political leaders he accuses of inciting Gen-Z youth to protest and destroy property across the country.
29 Jun 2025
- A collision between a bus and minibus in Tanzania has killed 38 people after both vehicles were set on fire by the crash, the presidency said Sunday.
29 Jun 2025
- National Assembly Majority leader has called on religious leaders to desist from what he termed as inciting Kenyans to protest against the government.
29 Jun 2025
- President William Ruto has arrived in Seville, Spain, to take part in the Fourth International Conference on Financing for Development. This United Nations global summit brings together world leaders to shape new principles for development financing…