Skip to main content
Skip to main content

David Ndakwa wa chama cha UDA ndiye mbunge mteule wa Malava kaunti ya Kakamega

  • | Citizen TV
    8,160 views
    Duration: 2:51
    David Ndakwa wa chama cha UDA ndiye mbunge mteule wa Malava kaunti ya Kakamega baada ya kumbwaga mpinzani wake wa karibu Seth Panyako wa chama cha DAP-K. Ndakwa amezoa kura 21,564 huku Panyako akipata kura 20,210.