Hamas watoa kanda ya video walioihariri ikidai kumekuwa na mapigano mitaani
Kitengo cha kijeshi cha kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas kimetoa Jumatatu (Januari 29) video iliyohaririwa inayoonyesha mapigano katika mitaa ya Khan Younis huko Gaza.
Kanda hiyo inawaonyesha wapiganaji wakiwa wamebeba mifumo ya kubebea silaha begani na kufyatua dhidi ya vifaru vya kivita. Reuters haikuweza yenyewe kuthibitisha eneo au tarehe ambayo video hiyo ilichukuliwa.
Mapema Jumatatu, jeshi la Israeli lilisema wanajeshi wake waliwaua darzeni ya Wapalestina wenye silaha kote Ukanda wa Gaza ndani ya saa 24 zilizopita, wakiwemo wanne waliokuwa wameonekana wakijiandaa kuwashambulia wanajeshi waliokuwa karibu na hospitali ya Al- Amal huko kusini mwa Khan Younis.
Kitengo cha kijeshi cha Hamas na kikundi cha Islamic Jihad vilisema wapiganaji wake walipambana na wanajeshi wa Israeli katika maeneo kadhaa katika eneo finyu usiku kucha. Kitengo cha kijeshi cha Hamas kilisema wapiganaji wake wameangamiza vifaru viwili vya Israeli huko Khan Younis.
Shambulizi lililofanywa na Hamas Oktoba 7 kwa kuvuka Gaza na kuingia kusini mwa Israel lilisababisha vita na waliwauwa kiasi cha watu 1,200.
Maafisa wa afya wa Palestina walisema watu wasiopungua 26,000 wakazi wa Gaza wameuawa katika vita hivyo. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #khanyounis
30 Jun 2025
- ODM confirmed the tragic news in a heartfelt statement on Monday, June 30.
30 Jun 2025
- On Saturday, a senior traffic cop lost his life in a high-speed pursuit in his own vehicle.
30 Jun 2025
- The activists were captured on video making the daring entry.
30 Jun 2025
- The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has opposed an attempt by senior police officers to block their prosecution over the death of blogger Albert Ojwang, terming the legal move as a calculated effort to evade justice.
30 Jun 2025
- Kathiani Member of Parliament (MP) Robert Mbui has claimed that National Assembly Speaker Moses Wetangula muzzles dissenting legislators from speaking on the floor of the House.
30 Jun 2025
- The High Court has ordered Inspector General of police Douglas Kanja to produce blogger Ndiagui Kiangui, who has been missing for 10 days.
30 Jun 2025
- The High Court has ordered Inspector General of police Douglas Kanja to produce blogger Ndiagui Kiangui, who has been missing for 10 days.
30 Jun 2025
- ODM confirmed the tragic news in a heartfelt statement on Monday, June 30.
30 Jun 2025
- A total of 531 people were injured, with many facing serious harm.
30 Jun 2025
- The Czech Republic – and specifically Bohemia, its westernmost region – has long been famous for its pivo (beer).
30 Jun 2025
- COVID-19, which erupted in late 2019 in Wuhan, China, has killed at least 20 million people and caused global economic losses exceeding $10 trillion. Tedros called it a “moral imperative” to uncover the origins of the virus, known scientifically as SARS…
30 Jun 2025
- Sweden tops the list, followed closely by Finland, confirming the Nordic region’s dominance in clean energy performance.
30 Jun 2025
- Former Police Spokesperson Charles Owino now claims that Boniface Mwangi Kariuki, the hawker who was shot in the head during anti-police brutality protests in Nairobi, insulted the officer who fired the shot.