- 15,626 viewsDuration: 2:35Seneta wa Nandi Samson Cherargei amewasilisha hoja ya kumpokonya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta marupurupu yake ya kustaafu akidai amekuwa akijihusisha na siasa. Haya yanajiri huku Chama cha Jubilee kikasema kinara wao hatatishwa na hawatakubali jaribio lolote la kuondolewa kwa marupurupu hayo.