Skip to main content
Skip to main content

Huzuni ilitanda Muyeye, Malindi katika mazishi ya aliyekuwa afisa wa GSU Isaac Ngala

  • | Citizen TV
    254 views
    Huzuni ilitanda katika Kijiji cha Muyeye eneo bunge Malindi wakati wa mazishi ya aliyekuwa afisa wa GSU Isaac Ngala aliyeaga dunia katika msitu wa Shakahola miaka miwili iliyopita.