4 Jun 2026 7:41 pm | Citizen TV 66 views Jonathan Kipleting Korir aliyemaliza katika nafasi ya nne kwenye mbio za Berlin Marathon ataongoza kikosi imara cha wanariadha katika mbio za Nairobi City Marathon Jumapili hii huku jiji kuu la Nairobi likiandaa awamu ya tano ya mbio hizo.