Skip to main content
Skip to main content

Leonard Wamuthende wa chama cha UDA ashinda kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Mbeere North

  • | Citizen TV
    4,543 views
    Duration: 2:46
    Na kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Mbeere North, Leonard Wamuthende wa chama cha UDA ameshinda kiti hicho kwa kuzoa kura 15,802 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Newton Kariuki wa chama cha Dp aliyepata kura 15,308.