Skip to main content
Skip to main content

Mabingwa watetezi Kenya Police FC 1waipiku Sifapaka 1-0 kwenye mechi ya ligi kuu nchini

  • | Citizen TV
    91 views
    Duration: 54s
    Mabingwa watetezi Kenya Police Fc hatimaye wametoka eneo la hatari baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sofapaka katika mechi ya pekee ya ligi kuu ya Kenya iliyochezwa kwenye uwanja wa police sacco mjini Nairobi.