Skip to main content
Skip to main content

Makubaliano ya SHA yazima tishio la mgomo wa walimu, yafuta malipo ya ziada

  • | Citizen TV
    252 views
    Duration: 1:35
    Muungano wa Walimu wa KUPPET na Mamlaka ya Afya SHA wamefikia makubaliano ya kuondoa malipo ya matibabu kwa walimu, hatua itakayowawezesha kupokea huduma za afya bila kuwekwa viwango vya juu au kulazimika kulipa kutoka mifukoni mwao. KUPPET pia imewahakikishia wazazi na wanafunzi kuwa shule zitafunguliwa kama ilivyopangwa, huku ikipuuza tishio la mgomo lililotolewa na baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaopinga kile wanachodai ni huduma duni za afya chini ya SHA.