Mashindano ya riadha ya KDF

  • | Citizen TV
    444 views

    Mshindi wa medali ya shaba katika mbio za nyika za chepsaita celestine biwott aliendeleza kiwango chake kizuri kwa kutwaa taji lake la kwanza la mashindano ya riadha ya kdf katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na maji kwa wanawake katika toleo la 45 lililofanyika Alhamisi katika uwanja wa Ulinzi complex, Nairobi.