Skip to main content
Skip to main content

Mazishi yaendelea kwa wanafunzi wa Utumishi walioangamia kwenye mkasa wa moto

  • | Citizen TV
    991 views
    Wanafunzi wanne zaidi walioangamia kwenye mkasa wa moto katika shule ya wasichana ya Utumishi wamezikwa leo, kwenye hafla za mazishi zilizojaa huzuni na majonzi tele. Familia, jamaa na marafiki wakijumuika maeneo tofauti kuwaaga wanafunzi hawa waliokuwa kati ya wanafunzi 16 walioteketea kwenye mkasa huo. Mwanafunzi mmoja Neema Wairimu atapumzishwa siku ya Jumatano eneo la Ruai hapa Nairobi