Skip to main content
Skip to main content

Tembo apindua gari la watalii ili aweze kula maembe.

  • | BBC Swahili
    13,386 views
    Duration: 1:08
    Karibu na Hifadhi ya Chui ya Mudumalai kusini mwa India, tembo alijaribu kufikia maembe yaliyokuwa ndani ya gari. Baada ya kushindwa kuyapata, mnyama huyo aliamua kupindua gari lililokuwa limeegeshwa. Hakuna mtu aliyedhurika katika tukio hilo. @frankmavura #bbcswahili #tendo #wanyama Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw