- 287 views
Ni afueni kwa Msajili wa Mahakama Anne Amadi baada ya mahakama kutupilia mbali agizo la kufungwa kwa akaunti zake. Hii inamanisha kuwa amadi sasa ataweza kutumia akaunti zake ambazo zilikuwa zimefungw amwezi uliopita kufuatia kesi ya dhahabu ghushi. Jaji Alfred Mabeya amesema kuwa hakukuwa na ushahidikuwa amadi alihusika na shughuli zilizokuwa zikiendeshwa na kampuni ya uwakili ya Amadi and Amadi Associates au kuwa alifaidi pesa hizo. Kampuni moja ya Dubai imemtaja Amadi na mwanawe Brian Ochieng kwenye kesi ambapo kampuni hiyo inadai kulipa shilingi milioni 89 kununua kilo 1,500 za dhahabu ila haikupata dhahabu hiyo.
Msajili wa mahakama Anne Amadi apata afueni
- 3 Aug 2025 - Kakamega Senator Boni Khalwale has expressed disappointment over the closure of St Mary’s Mission Hospital in Mumias.
- 3 Aug 2025 - Gunmen kidnapped more than 50 people in northwest Nigeria in a mass abduction, according to a private conflict monitoring report created for the United Nations and seen by AFP on Sunday.
- 3 Aug 2025 - The DP said the ruling party will ensure the will of voters is captured and respected during the UDA primaries.
- 3 Aug 2025 - Petitioner claims shortlisted candidates were handpicked in blatant violation of national values and constitutional principles regarding regional balance.
- 3 Aug 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) Secretary-General Edwin Sifuna has declared that he will leave the party if it chooses to support President William Ruto's re-election bid in the 2027 general election.
- 3 Aug 2025 - Petitioner claims shortlisted candidates were handpicked in blatant violation of national values and constitutional principles regarding regional balance.
- 3 Aug 2025 - The audit found no justification for the nine hotel-hosted meetings.
- 3 Aug 2025 - “This month, there is only one party, Harambee Stars."
- 3 Aug 2025 - The Auditor General’s report on Kebs for the year ended June 2024 says it is technically insolvent.
- 3 Aug 2025 - It is unclear how many children might be involved.