Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto atetea uamuzi wa Gideon Moi kujiondoa kinyang’anyironi cha Useneta Baringo

  • | KBC Video
    411 views
    Duration: 3:09
    Rais William Ruto amemtetea mwenyekiti wa chama cha KANU Gideon Moi kuhusu uamuzi wake wa kujiondoa kutoka uwaniaji wa kiti cha Useneta kaunti ya Baringo, na kukubali kufanya kazi na serikali yake. Akizungumza huko Kabarak ambako Gideon alikuwa mwenyeji wa wafuasi wa chama cha KANU, Rais alisema seneta huyo wa zamani wa Baringo hakukosea kuisaidia serikali yake kuimarisha umoja wa kisiasa na kubadilisha taifa. Rais sasa ametaka makubaliano rasmi na chama cha KANU kujiunga na serikali jumuishi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive