- 10,294 viewsDuration: 3:05Rais William Ruto amepuuzilia mbali matamshi ya kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua kupinga waumini wa dhehebu la Akorino kukutana naye katika ikulu ya Nairobi. Rais Ruto akitaja matamshi ya Gachagua kuwa ya kupotosha wakenya na yenye kuchochea ukabila,