- 241 views
Waziri wa Usalama Professor Kithure Kindiki amesema kuwa serikali itajenga shule tano maalum chini ya mpango wa amani. Shule hizo za kijamii za Dira, Todo, Tuwit, Lomuke, na Chepchoren zitahakikisha wanafunzi kutoka kaunti za Elgeyo Marakwet, Baringo na Pokot Magharibi wanapata mafunzo ili waweze kubadili vizazi vijavyo, na kueneza amani na utangamano katika kaunti hizo ambazo zinashughudia mapigano ya mara kwa mara kutokana na wizi wa mifugo. Waziri wa usalama amesema utangamano wa wanafunzi kutoka jamii hizo utapunguza uhalifu na uhasama wa kijamii.
Serikali yajenga shule tano maalum mpakani wa kaunti za Elgeyo Marakwet, Baringo na Pokot
- 3 Aug 2025 - Kakamega Senator Boni Khalwale has expressed disappointment over the closure of St Mary’s Mission Hospital in Mumias.
- 3 Aug 2025 - Gunmen kidnapped more than 50 people in northwest Nigeria in a mass abduction, according to a private conflict monitoring report created for the United Nations and seen by AFP on Sunday.
- 3 Aug 2025 - The DP said the ruling party will ensure the will of voters is captured and respected during the UDA primaries.
- 3 Aug 2025 - Petitioner claims shortlisted candidates were handpicked in blatant violation of national values and constitutional principles regarding regional balance.
- 3 Aug 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) Secretary-General Edwin Sifuna has declared that he will leave the party if it chooses to support President William Ruto's re-election bid in the 2027 general election.
- 3 Aug 2025 - Petitioner claims shortlisted candidates were handpicked in blatant violation of national values and constitutional principles regarding regional balance.
- 3 Aug 2025 - The audit found no justification for the nine hotel-hosted meetings.
- 3 Aug 2025 - “This month, there is only one party, Harambee Stars."
- 3 Aug 2025 - The Auditor General’s report on Kebs for the year ended June 2024 says it is technically insolvent.
- 3 Aug 2025 - It is unclear how many children might be involved.