- 3,222 views
Ni afueni kwa wanaofanya biashara ya mchele baada ya serikali kupunguza ushuru wa kuagiza bidhaa hii kutoka mataifa ya nje. Aidha, wajenzi na wanaofanya kazi ya bidhaa za ngozi pia wamepata afueni kwenye bajeti ya mwaka huu. Akisoma bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2025/26, waziri wa hazina kuu ya kitaifa John Mbadi ametangaza kuongezwa kwa ushuru wa bidhaa ya vileo, huku wageni wanaofanya biashara za pesa za kimtandao sasa wakitakiwa kulipa ushuru wa VAT.
Serikali yapunguza ushuru wa mchele kutoka nje ushuru wa bidhaa ya anasa kama vileo kuongezeka
- - NTV Kenya LIVE ››
- - 🔴TV47 Live ››
- - 🔴TV47 Live ››
- 15 Jun 2025 - Iran and Israel traded missiles and airstrikes on Saturday, the day after Israel launched a sweeping air offensive against its old enemy, killing commanders and scientists and bombing nuclear sites in a stated bid to stop it from building an atomic…
- 15 Jun 2025 - Suspended Central Police Station OCS Samson Talaam breaks silence
- 15 Jun 2025 - Nyamu squeezes eyelids to fake sympathy tears for Ojwang' death
- 15 Jun 2025 - Losing identity? Questions rise as ODM supports disliked policies
- 15 Jun 2025 - It's a mixed bag for Michael Joseph as he formally exits Kenya Airways
- 15 Jun 2025 - Wantam: Gachagua becomes the nerve centre of political messaging
- 15 Jun 2025 - Mic check: How Kindiki found his voice in grassroots empowerment drives
- 15 Jun 2025 - Broad-based bait: Kenya Kwanza on expedition to fish Kalonzo
- 15 Jun 2025 - Ojwang's murder exposes Ruto's nervous regime backed by Raila
- 15 Jun 2025 - Smart protests: How the digital generation revolutised dissent