Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Nyamira wataka wakazi kuwa watulivu Rais Ruto anapoanza ziara ya siku nne eneo hilo

  • | Citizen TV
    1,105 views
    Duration: 1:50
    Na katika kaunti jirani ya Nyamira, Viongozi wa kisiasa wameomba utulivu wa joto la kisiasa, na kuwaomba wakazi wa eneo hilo kumkaribisha Rais William Ruto anapoanza ziara yake ya siku 4 katika kaunti za Nyamira na Kisii.