- 12,973 viewsDuration: 2:49Viongozi wa upinzani wameendelea kuilaumu serikali kwa vurugu kwenye mikutano yao, wakishutumu kile kilichoshuhudiwa jana katika kaunti ya Kiambu. Wakiongozwa na Rigathi Gachagua wa DCP na Fred Matiang'i wa Jubilee, viongozi hao wamewataka wakuu wa usalama kuwajibikia usalama na kuyakabili magenge ya wahuni.