4 Jun 2026 5:57 pm | K24 Video 265 views Duration: 57s "Mimi niko tayari kurudi pale kupigana na hawa wangwana ili tuwe na usalama katika nchi yetu. Viongozi wetu wanajali starehe zao kujitengenezea State lodge hapa na wananchi wanaumia hapa," Fred Matiangi.