- 37 views
Baadhi ya wakazi pamoja na viongozi wa kisiasa kutoka eneo la kaskazini Mashariki wanataka wale waliohusika na kile kilichodaiwa kuwa kutekwa nyara na kuteswa kwa aliyekuwa afisa mkuu wa afya katika kaunti ya Isiolo Abdulrahman Ibrahim, wakamatwe na kushtakiwa haraka. Viongozi hao wakiongozwa na mbunge wa Mandera Magharibi Adan Yusuf, wanadai tukio la kutekwa nyara kwa Ibrahim kunaweza kuwa ni suala la kisiasa. Ibrahim kwa sasa amelazwa katika hospitali moja Nairobi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakazi wa Isiolo wataka waliohusika na kutekwa nyara kwa Abdulrahman Ibrahim wakamatwe haraka
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters
- 12 Jul 2025 - Lawyer Pheroze Nowrojee: Legal luminary who fought for justice
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals
- 12 Jul 2025 - Chief Kadhi Sheikh Abdulhalim Hussein was buried in Mombasa on Thursday evening,
- 12 Jul 2025 - In the 2024-2025 financial year, KWS generated Sh7.92bn against a requirement of Sh19.79bn.
- 12 Jul 2025 - WFP says the support comes at a critical time, as WFP faces major funding shortfalls
- 12 Jul 2025 - Defending champions Musingu High School’s Scorpions edged archrivals Kakamega High’s Green Commandos 1-0 in a tense replay final marred by chaos and referee intimidation, as Agai Secondary cruised past Rapogi High 4-1 to keep their Nyanza regional hopes…
- 12 Jul 2025 - Getting a new piercing is exciting, but proper aftercare is crucial for healing. Unfortunately, many people unknowingly make mistakes that lead to infections, irritation, or prolonged recovery. Here are the top 10 piercing aftercare mistakes and how to…