Skip to main content
Skip to main content

Wakazi waandamana kisiwani Manda, Lamu, kulalamikia uwekezaji wa mbuga

  • | Citizen TV
    426 views
    Duration: 1:10
    Wakaazi wa Kisiwa cha Manda kaunti ya Lamu wameandamana kupinga mradi wa mbuga ya wanyama pori kupitia mwekezaji wa kigeni katika Kisiwa hicho. Wakazi hao wakisema kuwa tayari mwekezaji huyo ameanza shughuli katika eneo hilo huku akiruhusu wanyama pori karibu na makaazi yao. Sasa wanasema hali hii imeendelea kuhatarisha maisha yao, haswa watoto wanapoelekea shuleni