Skip to main content
Skip to main content

Watu 3 wafariki kwenye uvamizi wa usiku Meru

  • | Citizen TV
    6,550 views
    Duration: 2:24
    Watu watatu wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa kufuatia uvamizi ulioendelea usiku wa kuamkia leo katika kaunti ya Meru. Aidha mamia ya mifugo waliibwa kwenye uvamizi huo uliowaacha wakaazi na hofu.