Skip to main content
Skip to main content

Waziri Murkomen awasuta wapinzani kwa kuchochea ghasia na siasa za migawanyiko

  • | KBC Video
    158 views
    Duration: 3:21
    Waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen amemshtumu aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua pamoja na viongozi wengine wa upinzani kwa kuchochea vurugu na kuendeleza siasa za migawanyiko. Waziri Murkomen ambaye aliyasema hayo wakati wa hafla ya kuwezesha jamii iliyoandaliwa katika uwanja wa Kimwogo, kaunti ya Elgeyo Marakwet, aliwaonya vikali wanasiasa wanaoendeleza rabsha kabla ya uchaguzi mkuu ujao, akisema watachukuliwa hatua za kisheria. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive