Zaidi ya watu 200 wamefariki kwenye ajali hii

  • | Citizen TV
    6,460 views

    Zaidi ya watu 200 walifariki katika ajali ya ndege ya shirika la India iliyokuwa inatoka mjini Ahmedabad nchini humo kuelekea jijini London. Watu 242 walikuwa wanasarifi katika ndege hiyo miongoni mwao ni mtu mmoja raia wa Uingereza aliyenusurika ajali hiyo. Picha za mtu huyo Vishwash Kumar Ramesh zilisambaa mtandaoni huku akionekana kushindwa kutembea kutokana na majeraha aliyopata..