Skip to main content
Skip to main content

Kenya yabanduliwa nje ya CHAN 2024, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    10,382 views
    Duration: 28:10
    Matumaini ya Kenya kufuzu kwa hatua ya nusu fainali ya michuano ya CHAN 2024 yameisha kupitia mikwaju ya penalti, baada ya timu hizo kutoka sare ya bao moja katika muda wa kawaida na muda wa ziada. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw